Huku Ulimwengu ukitenga siku ya hamasisho dhidi ya ugonjwa wa nasuri Jumamosi iliyopita. Evelyne Shani alikuwa miongoni mwa wagonjwa wengi waliofanyiwa upasuaji wa bure katika hospitali ya rufaa ya kaunti ya Narok. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
News
Mwanamke aelezea jinsi maisha yalivyomsononesha na ugonjwa wa fistula
23 May 2020